Thursday, March 12, 2009

mzee mwinyi ashabuliwa jukwaani

mzee mwinyi akitoka njee ya ukubi bdo akiwa na tabasamu lake kma kawaida yake
wana usalma wakijitaidi kumtoa njee huyo kijana huku wana nchi wenye hasira wakitaka bdo kumsulubu




kijana aliye mshambulia mzee mwinyi akipata kipigo kikali toka kwa wananchi waliyo chukizwa na kitendo hicho

Wednesday, March 11, 2009


jk akimkaribisha katibu mkuu mstafu wa umoja wa mataifa mh.koffi Anan kwa mazungumzo leo ikulu
naibu katibu mkuu akisalimia na mwenyeki wa wanawake na maendeleo [wama] mama salma kikwete alipo mtembelea ofisini wake leo

Tanzania tunaelekea wapi?


madaa ni je tanzania tunaelekea wapi ? ndugu zangu mengi yanaongelewa ,mengi yanatokea je wewe una fikiri tanzania tunaelekea wapi? unayapi ya kutueleza , unanini unataka kusema ulingo ni wako pandekeza sema lolote ila lenye maana ..lenye kuweza kutufundisha na kuanzisha maada nyingine zenye mchakato wa kimaendeleo ,ili tupige hatua mbele na kuweza kufikia lengo karibu kwenye mjadala


Naanza kwa kumkumbuka mwalimu kwa yake yote aliyo yasema na kuyatekeleza mpaka alipo fikia.. juhudi zake zote uwezo uadilifu na hekima ambao ndio unenimpa msukumo wa kufanya jambo, hili mwalimu alianzia ngazi ya chini mpaka kufikia kua kiongozi ,mambo yote hua yana fuwata nyajoo mbali mbali hadi kufikia lengo kamili ..blog hii... kwa undani ni ya jamii ni yenu nyinyi ni ya undugu kama aliosisitizia mwalimu kua sote watanzania ni ndugu wamoja.. lengo kubwa ni kuhabarishana na kuweza kuchangia madaa na mijadala mbali mbali ambayo itatusaidia kuelimishana ,na kusaidia katika maswala yote ya maendeleo kwa ujumla sina mengi bali na sema asanteni sana ,na karibuni javini