As the debate continues on what were the actual economic benefits of Tanzania’s hosting of the World Economic Forum (WEF) early this year, it is now emerging that the State House spent a cool Tsh 367 mln (approximately USD 250,000) on a lavish evening entertainment gala for the conference delegates.
Although there is no official confirmation of corruption in this event, it is the nature of how the budget and contract for this event was prepared that has raised concerns that corrupt practices may have been involved and government could have lost millions in shillings due to over inflated charges for the services provided on this occasion.
A copy of the agreement signed between the President’s Office-State House and a private company trading as Roundtrip Event & Production Tanzania (Division of Scanad Tanzania Limited) reads like a riddle with a long list of items whose detailed prices were not given apart from lump sum figures given as total at the end of the column without giving details how these figures were arrived at.
The agreement was signed on 31st March 2010 by the Permanent Secretary- State House witnessed by an official called Mussa M, Makuya while Mr Prashant Powar signed on behalf of Round Trip Event & Production witnessed another official from the company.
According to the agreement, item no 1: Invitations cost the government Tsh 8,250,000 while Décor & Venue cost the government Tsh 85,800,000. Another Item-Sound Systems cost Tsh 19,800,000 another Tsh 39,600,000 was spent on special lights alone. Tsh 13,200,000 was spent on special video system (hire) while Tsh6, 600,000 was spent on special graphics and a cool Tsh13, 200,000 was spent on Entertainment-Off stage. Entertainment on stage cost Tsh 15,180,000 while Tsh3, 300,000 was spent on communication.
A power generator for hire cost Tsh 19,800,000 ( even though the Conference venue Mlimani City had assured power supply with a stand by Generator) while Tsh 26,400,000 was spent on show management/staff costs. The state house was charged Tsh 33,000,000 as Event/project Management fees while Tsh27, 060,000 was spent on additional elements.
A close look at the items listed in each column also raises concerns as some items clearly appear to have been unnecessary for the event of this kind. For example, under some columns items like dancing floor made of tinga tinga, live gallery show cases, communication plans appear to have been included in the budgets even when the conference venue appears to have been well paved and needing no extras make-ups for especially dancing.
More still, most of the items were indicated in brackets as (if required) and yet the agreement had been signed indicating that funds had been implicitly earmarked for these items. The question therefore was what happened, in case some of these items listed turned out not to be required?
Since this agreement became publicly available and widely circulated on the internet, the public questions the wisdom of government’s expenditure priorities and cannot understand how government could have managed to pull off such a lavish dinner for conference participants at a time of the year when government was struggling to reach its local revenue collection targets to finance its budget. The end of year budget out turn indicates that government recorded a shortfall in revenue collections for its 2009/10 financial year.
In the recent past, the government, especially the state house has been under increasing criticisms for lavish spending on foreign travels and conferences whose immediate benefit to Tanzania is often not seen. The President was the first to face this criticism with members of the opposition political parties and some section of the population criticizing what they described as his over expenditure on foreign trips accompanied with large delegations.
Another criticism was raised when the government millions of shillings hosting the Sullivan Summit in 2008. The summit held in Arusha brought together over 500 people especially from North America led by former US Ambassador Andrew Young and his company associates.
The delegates pledged to engage in development projects in Tanzania, promote Tanzania’s tourism and abroad and to attract foreign investors. Sitting in a star studded tented city at a state dinner held at Ngurudoto Mountain Lodge, Ambassador Young and others like Karl Masters spoke out with pride how the Sullivan Summit delegates would each work towards changing the lives of poor Tanzanians. In his own words, the delegates had travelled for many miles and were now seated at the bottom of the Rift Valley in the heart of Africa. But since then, the Country has nothing serious to show as the outcome of this summit.
On the contrary, in what appeared to be evidence of who the actual beneficiaries of the summit were and signs of infighting, one of the employee’s of Ambassador Young’s interests in Tanzania was sacked shortly after the summit for among other reasons lack of integrity
Apparently, the government appears to be caught up in this love for international conferencing in the anticipation that this works well in strengthening Tanzania’s foreign policy interests
However, with the two conferences gone, it may be high time for government to begin evaluating the impact of hosting such high powered conferences in the Country. In most Countries, conferences are a business venture and no conference can be held if no profits will be realized for the host country.
The government needs to borrow a leaf from others. Before the conference is held, there is need for a comprehensive cost benefit analysis to be undertaken to determine whether the benefits of the conference outweigh the costs. After the conference, there is need for an audit to be conducted to establish how much money was spent and whether what was spent was commensurate with the benefits gained from the conference.
As commented by one retired Civil servant, for any meeting of this magnitude, there will be always forces waiting to prey on the cheap government money which comes with it.
The foxes are sometimes within government or sometimes outside government but working closely with government officials either as service providers or as middlemen to negotiate on behalf of government with other services providers. In the process cash exchanges hands and kickbacks flow as lucrative business deals are sealed, he said.
This was the case with the Common Wealth Heads of state and Governments Meeting (CHOGM) meeting in Kampala, Uganda a few years ago.
In an ongoing Parliamentary Inquiry, senior government officials have been implicated in the scandal which may end up tarnishing Uganda’s image abroad and ruining its chances of hosting similar high powered international conferences in the future.
As it turned out, the inquiry revealed that the government lost billions of shillings in dubious business deals ranging from supplying of government vehicles at inflated prices to corruptly renting out space for small scale business exhibitors.
According to the Foreign Affairs Ministry, the WEF was a unique opportunity for Tanzania to expose its tourism potential and opportunities for investment. The country was expected to rake millions of shillings in hotel accommodations, tourism, and shopping and investment deals. However from this single agreement it appears the WEF and its delegates were instead preying on the limited resources available in a poor Country like Tanzania.
As commented by some sections of the public, looking at this figure it appears we spent all that the little resources that the delegates brought into this country in the form of hotel bookings, taxi hire, small shopping etc on this dinner. Therefore the net benefit from this conference could be equated to zero.
In his address to the nation, the President of Tanzania, Jakaya Kikwete lauded the Ministry of Foreign Affairs and the People of Dar es Salaam for having been such good hosts. This message was also echoed by the Foreign Minister in his budget speech to Parliament in which he said the Conference organizers had ‘appreciated our hospitality’ and acknowledged that never had they ever held such a successful conference in the history of the WEF summit.
However, if the public concerns about this agreement are to go by, may be it would be appropriate to look back in retrospect, conduct an audit on the preparations and financial dealings of WEF Summit, just to be sure no one was fleeced.
Tuesday, July 27, 2010
Sunday, June 20, 2010
Mwandosya ahujumiwa na wana CCM wenzake?
NYARAKA za siri zinazoonyesha mpango wa kumtokomeza kisiasa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Mark Mwandosya zimevuja.
MwanaHALISI limepata nyaraka hizo zinazomtaja mkuu wa mkoa wa Mbeya, John Mwakipesile na viongozi wengine wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa katika njama hizo.
Katika andishi rasmi, Mwakipesile anasema kwamba anatuhumiwa kushirikiana na mbunge wa Igunga, Rostam Aziz na swahiba wake mkuu, Waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kumwangamiza Mwandosya kisiasa.
Profesa Mwandosya ni mbunge wa Rungwe Mashariki (CCM). Alikuwa miongoni mwa waliokuwa kwenye mchakato wa kugombea urais mwaka 2005.
Mwingine anayetajwa katika njama hizo ni mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Mbeya, Nawab Mulla. Katika orodha hiyo, yumo pia mkurugenzi wa zamani wa Usalama wa taifa, Cornel Apson Mwang’onda.
Kwa mujibu wa mawasiliano yaliyopo kati ya Profesa Mwandosya, Mwakipesile, Mwalimu wa Shule ya Msingi Lufilyo, Alisto Gideon Mwangungulu na Stephen Merali Mwakajumilo, wafadhili wakuu wa mkakati ni Rostam na swahiba wake Lowassa.
Taarifa zinasema Profesa Mwandosya huenda akagombea urais mwaka 2015, mwaka ambao pia imetajwa kuwa Lowassa angependa kuingia kwenye kinyang’anyiro.
Kuanguka kwa Profesa Mwandosya, taarifa zinaeleza, kunaweza kuwa ni kumsafishia njia Lowassa katika kuwania urais mwaka 2015.
Mwaka 2005 Profesa Mwandosya alikuwa mmoja wa wanachama wa CCM waliotoa ushindani mkubwa kwa rais Jakaya Kikwete katika kinyang’anyiro cha kutafuta mgombea urais kupitia chama hicho.
Tangu wakati huo, taarifa zinasema, kumekuwa na madai ya kutaka kumuangamiza kwa maelezo kuwa anaweza kutamani kugombea tena nafasi hiyo mwaka 2015.
Aidha, taarifa zinasema Mwandosya amekuwa akikabiliwa na upinzani mkali kutoka ndani na nje ya chama, kutokana na kutokuwa mfuasi wa kundi maarufu la “wanamtadao,” lililomuingiza Kikwete madarakani.
Mkakati huo wa siku nyingi umevuja mwezi mmoja uliopita, baada ya Mwalimu Mwangungulu “kuungama” kwa Mwandosya akiwa na viongozi wengine wa dini.
Alisema aliitwa na Mwakipesile na kutakiwa kusaidia harakati za kumtokomeza Mwandosya.
Kwa mujibu wa mawasiliano ya siri kati ya viongozi hao wawili, Mwakipesile, anatuhumu Mwandosya kuwa mtu anayejisikia na asiyethamini viongozi wake wa mkoa na kitaifa.
Mwalimu Mwangungulu anasema katika ungamo lake kwamba Mwakipisile alimueleza, “…Mwalimu ngoja nikuambie yafuatayo: Mbunge wenu ana kiburi, ana dharau. Sijui ni kutokana na elimu aliyonayo?
Anasema, “…Nasema ana dharau na ana kiburi kwa kuwa akitoka Dar es Salaam anatakiwa kuripoti kwangu na wilayani. Yeye huwa anapitiliza moja kwa moja kwenda kijijini kwake Lufilyo.”
Mwangungulu alimnukuu Mwakipesile akisema, “Yeye (Profesa Mwandosya) amemwambia rais anihamishe kutoka mkoa huu, eti sina maendeleo yoyote.”
Alisema, “Mimi ndiye mkuu wa mkoa. Ndiye ninayepanga ratiba ya rais ya mkoa huu. Kwa hali hiyo, Rais Jakaya Mrisho Kikwete hatakanyaga Lufilyo labda niwe marehemu au niwe nimehamishwa kutoka mkoa huu.”
Habari zinasema Mwakipesile aliona kuwa iwapo rais atakwenda kijijini Lufilyo, nyumbani kwa Profesa Mwandosya, basi waziri huyo angeweza kupata ujiko wa kisiasa.
Hata hivyo, Rais Kikwete alifika kijijini hapo mwaka jana baada ya kuombwa binafsi na Profesa Mwandosya wakati huo wakiwa katika ziara ya kikazi nchini Marekani.
“Wakiwa Marekani (Mwandosya na Kikwete), Profesa alimuomba rais atembelee kijijini kwake kwa mwaliko wa mkewe, Mama Mark Mwandosya kwa ajili ya kufungua kituo cha watoto yatima cha Lufilyo. Ndipo Mwakipisile alipotaka kuhujumu ziara hii,” anasema kiongozi mmoja wa serikali aliyeulizwa iwapo anafahamu lolote kuhusiana na suala hilo.
Alisema, “Katika ziara yake ya kwanza mkoani Mbeya baada ya kurejea kutoka Marekani, viongozi wa mkoa hawakumpangia kutembelea Lufilyo. Lakini katika ziara ya pili, rais aliagiza kutoka Dar es Salaam, kwamba anakwenda Mbeya na anataka akifika tu, aende Lufilyo.”
Baada ya maelezo ya Mwangungulu, ndipo Profesa Mwandosya alipochukua hatua ya kumuandikia Mwakipesile kutaka kuweka kile alichoita, “kumbukumbu na matumizi ya baadaye.”
Katika barua yake ya tarehe 16 Aprili 2010, Profesa Mwandosya anasema, “…Naambatanisha kumbukumbu (transcript) ya kikao ulichokifanya (Mwakipesile, Mwalimu Mwangungulu na Mwakajumilo) Jumatatu ya Pasaka 3 Machi 2008 pale Mbeya Hotel. Somo la mazungumzo linajieleza lenyewe…ikiwa ni pamoja na washiriki wengine.”
Anasema kiini cha kupeleka kumbukumbu hizo zinazodaiwa kuandikwa na Mwalimu Mwangungulu, ni ili azipitie “na kufanya marekebisho” atakayoona yanafaa.
Barua ya Mwandosya kwenda kwa Mwakipesile ilikuwa na kichwa cha maneno kisemacho, “Kumbukumbu ya mkutano wa tarehe 3 Machi 2008.” Ilikuwa na Kumb. Na. MJM/JIMBO/RM/02.
Hata hivyo, Mwakipesile hakufanya marekebisho katika waraka wa siri aliotumiwa, badala yake aliandika barua ya kurasa mbili iliyojaa tuhuma, shutuma na lawama kwa Profesa Mwandosya.
Aidha, ni katika barua hiyo, Mwakipesile anaingiza hata watu ambao hawakutajwa mahali popote na Mwalimu Mwangungulu wala na Mwandosya.
Barua ya Mwakipesile ya tarehe 20 Aprili 2010 iliyotumwa kwa Profesa Mwandosya, kwanza inakiri kukutana na Mwalimu Mwangungulu na Mwakajumilo.
Mwakipesile anasema mkutano wao haukulenga kumuangamiza Profesa Mwandosya, bali kuzungumzia maandalizi ya semina ya SACCOS.
Akionyesha hasira katika maandishi yake, Mwakipesile anasema, “Nimeelezwa mengi juu ya masimango yako dhidi yangu, kwamba mimi John Mwakipesile nimemtafuta Mwakajumilo akuondoe ubunge.”
Anasema anadaiwa “…kupokea pesa kutoka kwa Lowassa na Rostam ili nikuondoea ubunge wewe na Mwakyembe. Kwamba mimi, Apson, Mwambulukutu, Mulla mwenyekiti wa CCM mkoa …ni adui zako ambao tuna lengo la kukuondoa uongozi na kuharibu malengo yako ya kisiasa. Unazungumza yote hayo na mengine mbele ya wananchi huko Mwakaleli ambao mimi ni kiongozi wao.”
Mwakipesile anasema, “Sitaki kuingia katika malumbano na wewe. Mimi bado nakuheshimu. Lakini sipendi kuniingiza katika mambo ya kijinga na ya kitoto.”
Akiandika kwa njia ya kumwonya Profesa Mwandosya, Mwakipesile anasema, “Nisingependa tena kuchezewa kiasi hiki.”
Wakati hali ikiwa tete katika jimbo la Mwandosya, Rhoda Mwamunyange, dada mkubwa wa mkuu wa sasa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Davis Mwamunyange, amekuwa mwanamke wa kwanza kujitosa kuwania ubunge katika jimbo la Kyela, mkoani Mbeya.
Rhoda ni mfanyakazi wa Shirika la Kazi la Kimataifa (ILO) jijini Dar es Salaam na mtumishi wa siku nyingi wa vyama vya wafanyakazi nchini. Jimbo la Kyela linashikiliwa na Dk. Harrison Mwakyembe.
Wengine wanaotajwa ni George Mwakalinga mjasiriamali na mwanafunzi anayeishi Uingereza na Vincent Mwamakimbula ambaye vilevile ni mjasiriamali anayeishi Dar es Salaam.
Habari kutoka jimbo la Urambo Mashariki zinasema Ali Karavina, ambaye aliwahi kuwa mbunge wa jimbo hilo, ametajwa kujitosa kupambana na mbunge wa sasa, Spika wa Bunge, Samwel Sitta.
Mwingine aliyejitosa kupambana na Sitta ni Ali Kalimauganga.
Taarifa zinasema tayari “kadi feki” 36,000 zimeingiza jimboni humo. Haikufahamika nani ameziingiza, lakini Sitta alipoulizwa kwa simu kutoka Dodoma, alikiri kuwapo kwa kadi hizo na kusema kwa ufupi tu, “Sibabaishwi na majizi.”
Chanzo: Mwanahalisi
Tuesday, June 1, 2010
Serikali yajifilisi !!!!
SERIKALI imeumbuka. Inahaha kukopa fedha benki kujazia bajeti, wakati inatuhumiwa kutumia mabilioni ya shilingi bila maelezo mwafaka.
Taarifa za kuaminika ambazo pia zinathibitishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zinauweka utawala wa rais Jakaya Kikwete kitanzini.
Wakati serikali imekopa karibu Sh. 270 bilioni kutoka benki, CAG amethibitisha matumizi mabaya ya serikali yanayofikia Sh. 344.1 bilioni katika mwaka wa fedha uliopita.
Kiasi ambacho CAG anasema kimetumiwa vibaya au bila maelezo mwafaka, kinazidi fedha ambazo serikali inakopa kutoka benki kwa zaidi ya Sh. 74.1 bilioni.
Wiki iliyopita serikali ilisema imekopa Sh. 270 bilioni kutoka benki ya Stanbic ya jijini Dar es Salaam kujazia kwenye bajeti yake ya mwaka 2010/2011.
Hatua hiyo ya serikali inatokana na wafadhili kukata kiasi cha dola za Marekani 220 milioni sawa na Sh. 270 bilioni kutoka kwenye ahadi zao za kusaidia bajeti ya Tanzania kwa mwaka huo.
Wafadhili wameeleza kwamba kiasi hicho kimekatwa kutokana na serikali kutokuwa makini katika kukusanya mapato na kukosa nidhamu katika matumizi. Wameeleza kwamba serikali haitekelezi ahadi zake hasa kuhusu uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia kwa ujumla.
Kwa mujibu wa CAG, ofisi ya rais ni miongoni mwa zilizotumia vibaya fedha za serikali. Ripoti inaoyesha kuwa mwaka wa fedha wa 2008/2009 utumishi, iliyo chini ya ofisi ya rais, imetumia vibaya Sh. 282 milioni.
Fedha hizo zimetumika kulipia matumizi ya watumishi wake kulala hotelini, wakati watumishi hao tayari walilipwa na serikali fedha za kujikimu.
Aidha, CAG anasema ofisi hiyo imetumia kiasi cha Sh. 705 milioni bila ya kuwa na nyaraka za kuthibitisha matumizi yaliofanyika.
Katika kile kinachoonekana kuchota kila kinachopatikana, ofisi hiyo ya rais imelipa ofisa wake mmoja kiasi cha Sh. 13.3 milioni ikiwa ni asilimia 30 ya posho ya nyumba, huku akiwa amepewa nyumba na serikali.
MwanaHALISI lilipomuuliza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), John Cheyo kuhusu matumizi ya ikulu na mengine ya serikali, alisema “ni mapema mno kuzungumzia suala hilo.”
Alisema, “Sisi tumeipata ripoti hiyo ya CAG kwenye mkutano uliopita wa Bunge na bado hatujaidili. Kwa kweli katika mazingira haya nitakuwa napayuka tu kama nitazungumza lolote.”
Cheyo alisema sharti kamati yake ipate maelezo kamili ndipo iweze kutoa maoni yake.
Wizara nyingine ambazo CAG anasema zimetumia fedha vibaya au bila vielelezo sahihi, ni pamoja na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi.
Katika wizara hiyo, CAG amegundua Sh. 3.6 bilioni zilizohamishwa kutoka fungu la matumizi ya kawaida kwenda katika fungu la ukarabati na manunuzi zilitumiwa vibaya.
CAG anasema katika ripoti yake kuwa, fedha hizo zilizohamishiwa fungu la ukarabati na manunuzi, hazikutumika kwa kazi iliyotajwa.
“…Hakukuwapo na ukarabati wala manunuzi yaliyofanyika. Mpango wa mwaka wa manunuzi na taarifa ya manunuzi, vilionyesha manunuzi hayo hayakufanyika kutokana na ukosefu wa fedha,” anasema CAG.
Matumizi mengine ya kutisha ni yale yaliyofanywa na wizara ya fedha yenyewe. Watendaji wa wizara hiyo, walipeleka kiasi cha Sh. 15 bilioni katika halmashauri mbalimbali ambazo hazikujulikana zilivyotumika.
Fedha hizo zimepelekwa bila ya kufahamisha Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) jambo lililosababisha “kutumika vibaya” au kuibwa, taarifa inasema.
Ripoti ya CAG inasema serikali ilitumia vibaya takribani Sh. 68 bilioni, ambazo hazikuwapo katika bajeti.
Aidha, serikali imetumia Sh. 23.7 bilioni ambazo zilitumia kuwekea dhamana Shirika la Umeme nchini (Tanesco). Shirika hilo lilishindwa kulipa deni lake na serikali ikalazimika kulilipa.
Lakini, kubwa kuliko yote, ni uamuzi wa serikali kubadili deni la Sh. 135 bilioni kutoka katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kuwa dhamana itakayolipiwa riba ya Sh. 11.50 kwa mwaka.
Kutokana na uamuzi huo, CAG anasema, “serikali italazimika kulipa kiasi cha Sh. 230 bilioni katika kipindi cha miaka 20 ijayo.”
Matumizi mengine ya Sh. 2 bilioni yamelipwa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii inayomiliki kampuni ya M/S Pensions Properties Limited (PPL).
Mifuko hiyo imechotewa na serikali na washirika wake kiasi cha Sh 2, 845, 637,096 kama faini ya ucheleweshaji malipo yaliyotolewa kwa ajili ya ujenzi wa “ukumbi mdogo wa Bunge - Dodoma.”
Mifuko iliyolipwa fedha hizo ni Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali za Mitaa (LAPF) na Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF).
Kama hiyo haitoshi, CAG anasema serikali imelipa kiasi cha Sh. 4 bilioni kwa wamiliki wa hoteli ya Travertine ya jijini Dar es Salaam, kutokana na kushindwa katika shauri lililofunguliwa mahakamani na menejementi ya hoteli hiyo.
Menejementi ya Hotel Travertine ilifungua kesi Na. 350 ya mwaka 2002 kutokana na serikali kuvunja mkataba wake na hoteli ambao CAG anasema, “haukuwa na manufaa yoyote kwa serikali.”
Serikali pia imepoteza kiasi cha Sh 17.8 bilioni zilizokusanywa na Idara ya Uhamiaji Zanzibar ambazo hazikuwasilishwa katika serikali ya Muungano.
Ripoti hiyo imeeleza pia namna wizara ya fedha ilivyofanya manunuzi makubwa yenye thamani ya Sh 1.6 bilioni ili kuepuka fedha zilizokuwa hazijatumika hadi wakati huo zisirejeshwe kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari, wiki iliyopita, Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, alisema mapato ya serikali yameshuka kwa wastani wa asilimia sita.
Mkulo alisema Mamlaka ya Mapato (TRA) haikusanyi kama awali na uuzaji wa bidhaa nje umepungua.
Hata hivyo, Mkulo alijitetea kuwa uchumi wa nchi umeimarika kiasi cha kuwa na nguvu ya kukopa fedha hizo na kwamba hata washirika wa mawandeleo - Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha Duniani (IMF) hawana kikwazo kwa maamuzi hayo.
Wakati Waziri Mkulo akipiga siasa katika suala nyeti la uchumi, taarifa zinasema sarafu ya taifa imeporomoka kwa kasi ambayo haijawahi kufikiwa.
Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, sarafu hiyo imeshuka thamani yake kwa wastani wa Sh. 60.
Kiongozi mmoja wa ngazi ya juu serikalini aliliambia MwanaHALISI kuwa ripoti ya CAG imeiumbua serikali, kutokana na mabilioni hayo ya shilingi kutojulikana yalivyotumika.
Katika Wizara ya Miundombinu, CAG amekutana na msururu wa madai ya wizara na idara za serikali zilizoagiza magari kupitia wizara hiyo, lakini yakiwa bado hayajafika.
Hata Ofisi ya Msajili wa Vyama imeguswa. Katika hali ambayo haijaweza kutosheleza ofisi ya CAG, msajili ametumia takribani Sh. 17 milioni kumlipia mtumishi wake mmoja fedha za kujikimu wakati wa mafunzo yake ya mwezi mmoja nchini Swaziland.
Kwa upande mwingine, CAG anasema wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imefanya manunuzi yenye thamani ya Sh. 103.06 milioni nje ya “mpango wa manunuzi wa mwaka” na bila manufaa.
Aidha, wizara ilitumia kiasi cha dola za Marekani 151,000 kukarabati jengo ililolinunua kwa dola za Marekani 10.5 milioni nchini Marekani, wakati kwa mujibu wa mkaguzi wa majengo, jengo hilo halikustahili kukarabatiwa. habari kwa hisani ya mwanahalisi
Taarifa za kuaminika ambazo pia zinathibitishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zinauweka utawala wa rais Jakaya Kikwete kitanzini.
Wakati serikali imekopa karibu Sh. 270 bilioni kutoka benki, CAG amethibitisha matumizi mabaya ya serikali yanayofikia Sh. 344.1 bilioni katika mwaka wa fedha uliopita.
Kiasi ambacho CAG anasema kimetumiwa vibaya au bila maelezo mwafaka, kinazidi fedha ambazo serikali inakopa kutoka benki kwa zaidi ya Sh. 74.1 bilioni.
Wiki iliyopita serikali ilisema imekopa Sh. 270 bilioni kutoka benki ya Stanbic ya jijini Dar es Salaam kujazia kwenye bajeti yake ya mwaka 2010/2011.
Hatua hiyo ya serikali inatokana na wafadhili kukata kiasi cha dola za Marekani 220 milioni sawa na Sh. 270 bilioni kutoka kwenye ahadi zao za kusaidia bajeti ya Tanzania kwa mwaka huo.
Wafadhili wameeleza kwamba kiasi hicho kimekatwa kutokana na serikali kutokuwa makini katika kukusanya mapato na kukosa nidhamu katika matumizi. Wameeleza kwamba serikali haitekelezi ahadi zake hasa kuhusu uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia kwa ujumla.
Kwa mujibu wa CAG, ofisi ya rais ni miongoni mwa zilizotumia vibaya fedha za serikali. Ripoti inaoyesha kuwa mwaka wa fedha wa 2008/2009 utumishi, iliyo chini ya ofisi ya rais, imetumia vibaya Sh. 282 milioni.
Fedha hizo zimetumika kulipia matumizi ya watumishi wake kulala hotelini, wakati watumishi hao tayari walilipwa na serikali fedha za kujikimu.
Aidha, CAG anasema ofisi hiyo imetumia kiasi cha Sh. 705 milioni bila ya kuwa na nyaraka za kuthibitisha matumizi yaliofanyika.
Katika kile kinachoonekana kuchota kila kinachopatikana, ofisi hiyo ya rais imelipa ofisa wake mmoja kiasi cha Sh. 13.3 milioni ikiwa ni asilimia 30 ya posho ya nyumba, huku akiwa amepewa nyumba na serikali.
MwanaHALISI lilipomuuliza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), John Cheyo kuhusu matumizi ya ikulu na mengine ya serikali, alisema “ni mapema mno kuzungumzia suala hilo.”
Alisema, “Sisi tumeipata ripoti hiyo ya CAG kwenye mkutano uliopita wa Bunge na bado hatujaidili. Kwa kweli katika mazingira haya nitakuwa napayuka tu kama nitazungumza lolote.”
Cheyo alisema sharti kamati yake ipate maelezo kamili ndipo iweze kutoa maoni yake.
Wizara nyingine ambazo CAG anasema zimetumia fedha vibaya au bila vielelezo sahihi, ni pamoja na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi.
Katika wizara hiyo, CAG amegundua Sh. 3.6 bilioni zilizohamishwa kutoka fungu la matumizi ya kawaida kwenda katika fungu la ukarabati na manunuzi zilitumiwa vibaya.
CAG anasema katika ripoti yake kuwa, fedha hizo zilizohamishiwa fungu la ukarabati na manunuzi, hazikutumika kwa kazi iliyotajwa.
“…Hakukuwapo na ukarabati wala manunuzi yaliyofanyika. Mpango wa mwaka wa manunuzi na taarifa ya manunuzi, vilionyesha manunuzi hayo hayakufanyika kutokana na ukosefu wa fedha,” anasema CAG.
Matumizi mengine ya kutisha ni yale yaliyofanywa na wizara ya fedha yenyewe. Watendaji wa wizara hiyo, walipeleka kiasi cha Sh. 15 bilioni katika halmashauri mbalimbali ambazo hazikujulikana zilivyotumika.
Fedha hizo zimepelekwa bila ya kufahamisha Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) jambo lililosababisha “kutumika vibaya” au kuibwa, taarifa inasema.
Ripoti ya CAG inasema serikali ilitumia vibaya takribani Sh. 68 bilioni, ambazo hazikuwapo katika bajeti.
Aidha, serikali imetumia Sh. 23.7 bilioni ambazo zilitumia kuwekea dhamana Shirika la Umeme nchini (Tanesco). Shirika hilo lilishindwa kulipa deni lake na serikali ikalazimika kulilipa.
Lakini, kubwa kuliko yote, ni uamuzi wa serikali kubadili deni la Sh. 135 bilioni kutoka katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kuwa dhamana itakayolipiwa riba ya Sh. 11.50 kwa mwaka.
Kutokana na uamuzi huo, CAG anasema, “serikali italazimika kulipa kiasi cha Sh. 230 bilioni katika kipindi cha miaka 20 ijayo.”
Matumizi mengine ya Sh. 2 bilioni yamelipwa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii inayomiliki kampuni ya M/S Pensions Properties Limited (PPL).
Mifuko hiyo imechotewa na serikali na washirika wake kiasi cha Sh 2, 845, 637,096 kama faini ya ucheleweshaji malipo yaliyotolewa kwa ajili ya ujenzi wa “ukumbi mdogo wa Bunge - Dodoma.”
Mifuko iliyolipwa fedha hizo ni Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF), Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Serikali za Mitaa (LAPF) na Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF).
Kama hiyo haitoshi, CAG anasema serikali imelipa kiasi cha Sh. 4 bilioni kwa wamiliki wa hoteli ya Travertine ya jijini Dar es Salaam, kutokana na kushindwa katika shauri lililofunguliwa mahakamani na menejementi ya hoteli hiyo.
Menejementi ya Hotel Travertine ilifungua kesi Na. 350 ya mwaka 2002 kutokana na serikali kuvunja mkataba wake na hoteli ambao CAG anasema, “haukuwa na manufaa yoyote kwa serikali.”
Serikali pia imepoteza kiasi cha Sh 17.8 bilioni zilizokusanywa na Idara ya Uhamiaji Zanzibar ambazo hazikuwasilishwa katika serikali ya Muungano.
Ripoti hiyo imeeleza pia namna wizara ya fedha ilivyofanya manunuzi makubwa yenye thamani ya Sh 1.6 bilioni ili kuepuka fedha zilizokuwa hazijatumika hadi wakati huo zisirejeshwe kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari, wiki iliyopita, Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, alisema mapato ya serikali yameshuka kwa wastani wa asilimia sita.
Mkulo alisema Mamlaka ya Mapato (TRA) haikusanyi kama awali na uuzaji wa bidhaa nje umepungua.
Hata hivyo, Mkulo alijitetea kuwa uchumi wa nchi umeimarika kiasi cha kuwa na nguvu ya kukopa fedha hizo na kwamba hata washirika wa mawandeleo - Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha Duniani (IMF) hawana kikwazo kwa maamuzi hayo.
Wakati Waziri Mkulo akipiga siasa katika suala nyeti la uchumi, taarifa zinasema sarafu ya taifa imeporomoka kwa kasi ambayo haijawahi kufikiwa.
Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, sarafu hiyo imeshuka thamani yake kwa wastani wa Sh. 60.
Kiongozi mmoja wa ngazi ya juu serikalini aliliambia MwanaHALISI kuwa ripoti ya CAG imeiumbua serikali, kutokana na mabilioni hayo ya shilingi kutojulikana yalivyotumika.
Katika Wizara ya Miundombinu, CAG amekutana na msururu wa madai ya wizara na idara za serikali zilizoagiza magari kupitia wizara hiyo, lakini yakiwa bado hayajafika.
Hata Ofisi ya Msajili wa Vyama imeguswa. Katika hali ambayo haijaweza kutosheleza ofisi ya CAG, msajili ametumia takribani Sh. 17 milioni kumlipia mtumishi wake mmoja fedha za kujikimu wakati wa mafunzo yake ya mwezi mmoja nchini Swaziland.
Kwa upande mwingine, CAG anasema wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imefanya manunuzi yenye thamani ya Sh. 103.06 milioni nje ya “mpango wa manunuzi wa mwaka” na bila manufaa.
Aidha, wizara ilitumia kiasi cha dola za Marekani 151,000 kukarabati jengo ililolinunua kwa dola za Marekani 10.5 milioni nchini Marekani, wakati kwa mujibu wa mkaguzi wa majengo, jengo hilo halikustahili kukarabatiwa. habari kwa hisani ya mwanahalisi
Wednesday, April 21, 2010
Tutafika kweli??
Former Cabinet minister Andrew Chenge has sued the National Bank of Commerce (NBC), demanding Sh310 million in compensation for alleged unauthorised disclosure of his banking details.
Mr Chenge, who resigned as the minister of Infrastructure Development in April 2008, after a British newspaper published a story linking him to a 28 million sterling pound (about Sh58 billion) air defence radar purchase scandal, says the leakage has “devastated political and social life”.
In a suit filed yesterday in the High Court, the Bariadi West MP has accused the bank of giving the information to a Kiswahili weekly, Mwanahalisi, which published a story alleging that Mr Chege, a long serving Attorney-General until he resigned to go into politics, held Sh25 million in his account.
In April last year, Mr Chenge was also reported by the UK’s Guardian newspaper to have $1 million (about Sh1 billion) in an offshore account in Jersey, which disclosed that detectives investigating the sale of the military radar to Tanzania, had traced the account.
Mr Chenge resigned just four days after the publication of his bank account details by Mwanahalisi.
In its issue of April 16-22, 2008, Mwanahalisi reported in its lead story that as of April 11, 2008, the former minister had an account balance of Sh25.7 billion.
The paper, apart from questioning where the former minister, who has never been known to run any business in his 30 years of public service, had got so much money from, also disclosed the names of nine people to whom payments from his account had been made.
This is the first case Mr Chenge has filed in the court after almost two years of reports in the media on his wealth and the $1 million in his offshore bank account.
In the plaint, Mr Chenge accuses the bank of failing to strictly keep secret the details of his account, number 011101006950.
“Reasonable presumption cannot ascribe any other source other than your bank for the disclosure of the information. No stranger from outside the bank could have compiled such a long and accurate list,” the minister states.
“The publication of the plaintiff’s information was a major reason for a devastating political and public backlash against the plaintiff,” the plaint continues.
Mr Chenge says he had hoped to continue occupying his ministerial position until the General Election to be held in October.
Through Mr Eric Ng’maryo of Moshi and Mr Deogratius Mwarabu of South Law Chambers of Dar es Salaam, Mr Chenge claims to have suffered special damage from NBC’s alleged breach of banking secrecy and that he lost 31 months’ expected earnings and benefits from his ministerial position amounting to Sh310 million.
The lawyers say the disclosure of the information to third parties and the subsequent malicious publication in Mwanahalisi newspaper has had a devastating effect on Mr Chenge’s political and social life, leading to his untold “personal damage, suffering and embarrassment”.
The plaint adds: ““There is no doubt that in disclosing that information to third parties, the bank knew, or ought to have known, that it would be published in a press attack against Honourable Chenge.”
The lawyers argue that the defendant has an ethical, professional and legal duty to ensure secrecy of customers’ banking information, “which extends to employees” and that the bank was liable for their breach of duty through unauthorised disclosure of Mr Chenge’s banking information.
“The information was directly supplied to Saed Kubenea and Mwanahalisi newspaper by the bank or its employee. The publication of the plaintiff’s banking information was politically motivated,” the lawyers say.
On November 29, 2008, Mr Chenge’s lawyer wrote a demand letter to the bank, claiming Sh1 billion in compensation for damages over the disclosure of the banking information. NBC denied liability for the breach of secrecy.
But the former minister maintains that the bank was responsible for the disclosure of the information, which was in breach of professional ethics and Tanzania’s banking law.
“It is also a breach of fiduciary relationship between the bank and client and is in further breach of your strict contractual obligation to secrecy in handling clients’ banking information.”
Mr Chenge was forced to resign after the local media published a story originating from the British newspaper, linking him to the multi-million dollar radar scandal.
The disclosure of Mr Chenge’s foreign bank account was made when he was out of the country, accompanying President Jakaya Kikwete during his State visit to China.
Mr Chenge, apparently angered when asked about the source of his fortune, described the $1 million (over Sh1.3 billion) in his offshore account as “Vijisenti” (pocket change).
He uttered the word ‘vijisenti’ when asked by reporters upon his arrival at Julius Nyerere International Airport, Dar es Salaam, from China, to comment on the allegation by a British newspaper that he had $1 million in an offshore bank account in the UK.
Tuesday, April 20, 2010
maisha bora kwa kila mtanzania!!!!
where are we heading?

Tanzania leads the list of East African states that have lost billions of dollars to money laundering, tax evasion, government graft and other illegal operations, according to a report by a US-based financial watchdog group.
The report “Illicit Financial Flows from Africa: Hidden Resources for Development,” by Global Financial Integrity, states that the country has lost $8.9 billion over the past four decades through the illicit means. Kenya lost $7.3 billion while Uganda lost $6.4 billion over the same period.
The three East African countries thus lost a total of $22.6 billion, money that would be sufficient to wipe out their combined outstanding external debt while leaving several billion dollars available for fighting poverty and spurring economic growth. The study points out that the impact of these losses is felt most acutely by the poorest Africans. The illicit outflow of money also “drains hard currency reserves, heightens inflation, reduces tax collection, cancels investment and undermines free trade,” the study says.
Tanzania is ranked 13th among the top 15 countries with cumulative illicit outflows after Angola, Republic of Congo, Cameroon, Côte d’Ivoire, Ethiopia, Gabon, Ghana, Madagascar, Mozambique, Nigeria, South Africa and Sudan. Zambia and Zimbabwe take the 14th and 15th positions respectively.
Already, Global Financial Integrity has started collecting signatures to petition the G20 Transparency at the G20 summit this June. The organisation is looking for 100,000 signatures from all over the world to forward to Canadian Prime Minister Stephen Harper, the current president of the G20. “Our goal is to show him the names of 100,000 people from all over the world who support ending banking secrecy, increasing financial transparency, and finally attacking the root causes of poverty.”
Read the rest of this (Tanzania to be ASHAMED of) report at TheEastAfrican... (click here)
Thursday, May 21, 2009
ziara ya rais jk marekani


Subscribe to:
Posts (Atom)