Wednesday, November 24, 2010

Baraza jipya la mawaziri (Tanzania)

. Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mathias Chikawe


2. Ofisi ya Rais – Mahusiano na Uratibu: Stephen Wassira

3.Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia

4. Ofisi ya Makamu wa Rais – ( Muungano): Samia Suluhu

5. . Ofisi ya Makamu wa Rais – (Mazingira) Dr. Terezya Luoga Hovisa

6. Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge): William Lukuvi

7. Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu

8. Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Huruma Mkuchika

Naibu: Aggrey Mwanri

Naibu: Kassim Majaliwa

9. Wizara ya Fedha Mustapha Mkulo

Naibu: Gregory Teu

Naibu: Pereira Ame Silima

10. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Shamsi Vuai Nahodha

Naibu: Balozi Khamis Suedi Kagasheki

11. Wizara ya Katiba na Sheria Celina Kombani

12. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard K. Membe Naibu: Mahadhi Juma Mahadhi

13 . Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi

14. Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Mathayo David Mathayo

Naibu: Benedict Ole Nangoro

15. Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mnyaa Mbarawa

Naibu: Charles Kitwanga

16. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka Naibu: Goodluck Ole Madeye

17. Wizara ya Maliasili na Utalii Ezekiel Maige

18. Wizara ya Nishati na Madini William Mganga Ngeleja 1. Adam Kigoma Malima

19. Wizara ya Ujenzi Dr. John Pombe Magufuli

Naibu: Dr. Harrison Mwakyembe

20. Wizara ya Uchukuzi Omari Nundu

Naibu: Athumani Mfutakamba

21. Wizara ya Viwanda na Biashara Dr. Cyril Chami

Naibu: Lazaro Nyalandu

22. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr. Shukuru Kawambwa

Naibu: Philipo Mulugo

23. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Haji Hussein Mpanda

Naibu: Dr. Lucy Nkya

24. Wizara ya Kazi na Ajira Gaudensia Kabaka Makongoro Mahanga

25. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Sophia Simba

Naibu: Umi Ali Mwalimu

26. Wizara ya Habari, Vijana na Michezo Emmanuel John Nchimbi

Naibu:Dr. Fenella Mukangara

27. Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel John Sitta

Naibu Dr. Abdallah Juma Abdallah

28. Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Prof. Jumanne Maghembe

Naibu: Christopher Chiza

29. Wizara ya Maji: Prof. Mark James Mwandosya

Naibu: Eng. Gerson Lwinge

No comments:

Post a Comment