Tuesday, March 17, 2009

jk akiongea na wandishi wa habari leo baada ya mkutano wa pre G20 london summit katika jumba La lacaster house jijini london leo.wengine toka kushoto ni rais wa african development bank Dr Donald kaberuka,waziri mkuu wa kenya mh Raila odinga,Rais wa liberia mh sirleaf jonson ,waziri mkuu wa ethiopia mh meles zanawi nawaziri wa fedha wa africa kusini mh Trvor manuel

No comments:

Post a Comment