Wednesday, March 11, 2009

Tanzania tunaelekea wapi?


madaa ni je tanzania tunaelekea wapi ? ndugu zangu mengi yanaongelewa ,mengi yanatokea je wewe una fikiri tanzania tunaelekea wapi? unayapi ya kutueleza , unanini unataka kusema ulingo ni wako pandekeza sema lolote ila lenye maana ..lenye kuweza kutufundisha na kuanzisha maada nyingine zenye mchakato wa kimaendeleo ,ili tupige hatua mbele na kuweza kufikia lengo karibu kwenye mjadala

No comments:

Post a Comment