Tuesday, March 31, 2009

Tanzania kupeleka jeshi la kulinda amani Darfur mwezi ujao

msuluhishi wa mgogoro darfur DR .Salim Ahmed Salim akiwaaga wanajeshi wa tanzania watakao enda kulinda amani Darfur.. pembenni akiwa na mnadhimu mkuu wa jwtz Adulraman shimbo





msuluhishi wa mgogoro wa Darfur akiagana na kamanada wa kikosi kitakacho enda darfur kulinda usalama luteni kanali Ally katimbe leo

No comments:

Post a Comment