Tuesday, March 17, 2009

waziri mkuu alivalia njuga swala la kituo cha mabasi cha ubungo


mh waziri mkuu mh pinda amemwagiza mkaguzi na mthibiti mkuu wa serikali (cag) kufanya ukaguzi wa mapato na matumizi ya makusanyo ya stendi ya mabasi ya ubungo na kuwakilisha ripoti yake ndani ya kipindi cha mwezi moja

No comments:

Post a Comment